forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
400 B
Markdown
16 lines
400 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anaendelea kuongea na Ayubu
|
|
|
|
# Mtu huadhidibiwa pia
|
|
|
|
"Mungu pia humwadhibu mtu"
|
|
|
|
# ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri
|
|
|
|
Virai hivi viwili kimsingi vinamaanisha kitu kile kile, kwamba mtu ni yuko katika maumivu makali ambayo yanamfanya anashindwa hata kula.
|
|
|
|
# ichukie vyakula vizuri
|
|
|
|
"kuchukia hata chakula chake anachokipendelea"
|