sw_tn/job/33/19.md

400 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuongea na Ayubu

Mtu huadhidibiwa pia

"Mungu pia humwadhibu mtu"

ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri

Virai hivi viwili kimsingi vinamaanisha kitu kile kile, kwamba mtu ni yuko katika maumivu makali ambayo yanamfanya anashindwa hata kula.

ichukie vyakula vizuri

"kuchukia hata chakula chake anachokipendelea"