sw_tn/job/33/16.md

322 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu

Mungu hufungua masikio ya watu

"ndipo Mungu hufunua mambo kwa watu"

Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.

Maelezo ya haya yanamaanisha kitu kile kile. "Mungu huwakoa watu kutoka katika kaburi na katika kifo."