sw_tn/job/33/13.md

575 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu

Kwanini unashindana naye?

"hatutakiwi hata kujaribu kushindana na Mungu"

Huwa hahesabu matendo yake yoyote.

"Yeye hawajibiki kutueleza sisi kila kitu anachokifanya"

Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili,

"Mungu huzungumza tena na tena kwa njia mbalimbali

Katika ndoto, katika maono ya usiku,

Maneno haya yanamaanisha kitu kile kile. "ndoto ambayo katika maono ya usiku"

wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani

"wakati watu wakiwa wamesinzia kweli kitandani mwao"