forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
575 B
Markdown
24 lines
575 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu
|
||
|
|
||
|
# Kwanini unashindana naye?
|
||
|
|
||
|
"hatutakiwi hata kujaribu kushindana na Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
|
||
|
|
||
|
"Yeye hawajibiki kutueleza sisi kila kitu anachokifanya"
|
||
|
|
||
|
# Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili,
|
||
|
|
||
|
"Mungu huzungumza tena na tena kwa njia mbalimbali
|
||
|
|
||
|
# Katika ndoto, katika maono ya usiku,
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanamaanisha kitu kile kile. "ndoto ambayo katika maono ya usiku"
|
||
|
|
||
|
# wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani
|
||
|
|
||
|
"wakati watu wakiwa wamesinzia kweli kitandani mwao"
|