sw_tn/job/33/06.md

254 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuongea na Ayubu.

nimeumbwa pia kutoka katika udongo

"Mungu amenifanya kutokana na udongo"

wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.

"Sitakutesa wewe kwa kile ninachokisema" au " nitazungumza na wewe kwa upole"