sw_tn/job/33/04.md

345 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu

Roho ya Mungu imeniumba..... imenipatia uhai

mistari hii miwili ina maana moja. Elihu inatia mkazo kwamba Mungu amemfanya yeye na kwa hivyo humpa mamlaka kwa kile anachokisema.

weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame

"andaa kile utakachokisema na unijibu"