forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
345 B
Markdown
12 lines
345 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu
|
||
|
|
||
|
# Roho ya Mungu imeniumba..... imenipatia uhai
|
||
|
|
||
|
mistari hii miwili ina maana moja. Elihu inatia mkazo kwamba Mungu amemfanya yeye na kwa hivyo humpa mamlaka kwa kile anachokisema.
|
||
|
|
||
|
# weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame
|
||
|
|
||
|
"andaa kile utakachokisema na unijibu"
|