forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
575 B
Markdown
20 lines
575 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anaendelea kuzungumza
|
|
|
|
# usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote
|
|
|
|
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatia mkazo kwamba Ayubu lazima asikilize kwa makini.
|
|
|
|
# nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu
|
|
|
|
Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatiza mkazo kwamba sasa ana utayari wa kuzungumza.
|
|
|
|
# Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu
|
|
|
|
"Nitazungumza kwa ukamilifu wa uadilifu"
|
|
|
|
# yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
|
|
|
|
"Nitakwambia kwa uaminifu mambo ninayoyajua"
|