sw_tn/job/33/01.md

575 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatia mkazo kwamba Ayubu lazima asikilize kwa makini.

nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu

Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Elihu anatiza mkazo kwamba sasa ana utayari wa kuzungumza.

Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu

"Nitazungumza kwa ukamilifu wa uadilifu"

yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.

"Nitakwambia kwa uaminifu mambo ninayoyajua"