sw_tn/job/32/17.md

492 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza kwa kutumia mtindo wa usambamba

nimejawa na maneno

"nina mengi sana ya kusema"

roho ndani yangu inanisukuma

"lazima niseme sasa"

kifua changu ni kama divai yenye chachu ambayo haina tundu; kama viriba vipya, kiko tayari kupasuka.

Wakati divai inapochacha, gesi hujikusanya katika chombo. Kama gesi hiyo yaitaondolewa, chombo kitapasuka . Elihu anamaanisha kwamba anayo mengi ya kusema na kama hatayasema anajisikia kama atapasuka.