sw_tn/job/32/15.md

458 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema

Vipande vitatu vya mstari hii vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anakazia kwamba marafiki wa Ayubu wamesema kile walichoweza kusema.

Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?

Elihu anatumia swali kukazia kwamba hatasubiria tena ili azungumze