forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
458 B
Markdown
12 lines
458 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anaendelea kuzungumza
|
||
|
|
||
|
# Hawa watu watatu wamep igwa bumbuwazi; hawawezi kuendelea kumjibu Ayubu; hawana neno zaidi la kusema
|
||
|
|
||
|
Vipande vitatu vya mstari hii vinamaanisha kitu kimoja. Elihu anakazia kwamba marafiki wa Ayubu wamesema kile walichoweza kusema.
|
||
|
|
||
|
# Je ninapaswa kusubiria kwasababu hawazungumzi, kwa kuwa wamesimama pale kimya na wala hawajibu zaidi?
|
||
|
|
||
|
Elihu anatumia swali kukazia kwamba hatasubiria tena ili azungumze
|