sw_tn/job/31/38.md

331 B

Maelezo ya jumla

Hii inahitimisha maelezo ya Ayubu juu ya hali ambazo ndani yake angestahili hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa haikuwa kweli.

Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja

Ayubu anaielezea nchi kana kwamba alikuwa mtu ambaye analia kwasababu Ayubu ameiiba kutoka kwa mmliki halali.