sw_tn/job/31/26.md

411 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

mwezi ukitembea

"mwezi ukizunguka katika anga"

na kama moyo wangu umevutwa kwa siri

"kama kwa siri nimetamani kuviabudu"

mdomo wangu umeubusu mkono wangu

Hii ni ishara ya upendo na ibada.

kuadhibiwa na waamuzi,

"kwa ajili yake waamuzi wangekuwa sawa kuhukumu"