sw_tn/job/31/24.md

412 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';

Msitari huu una maana sawa na msitari uliotangulia. Kwa pamoja inasisitiza kwamba Ayubu hajategemea mali ili kumletea usalama.

mkono wangu umepata mali nyingi,

"Nimepata mali nyingi kwa uwezo wangu"