sw_tn/job/31/22.md

305 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake

"kisha mtu mmoja na alivunje bega langu na kuuvunja mkono wangu"