forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
524 B
Markdown
16 lines
524 B
Markdown
# Maelezo ya jumla .
|
|
|
|
Ayubu anaanza kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, (zimeelezwa katika 31:22) lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli
|
|
|
|
# ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
|
|
|
|
"Nimewapa watu wale nguo za sufu ili kupata joto, na hivyo wamenibariki, lakini kama ningekuwa sijafanya hivyo,"
|
|
|
|
# nimeinua juu mkono wangu kinyume
|
|
|
|
"Nimetisha ili kudhuru"
|
|
|
|
# katika lango la mji
|
|
|
|
Hapa ni mahali ambapo watu muhimu wa mji hukusanyika na kufanya maamuzi.
|