sw_tn/job/31/19.md

524 B

Maelezo ya jumla .

Ayubu anaanza kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, (zimeelezwa katika 31:22) lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli

ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,

"Nimewapa watu wale nguo za sufu ili kupata joto, na hivyo wamenibariki, lakini kama ningekuwa sijafanya hivyo,"

nimeinua juu mkono wangu kinyume

"Nimetisha ili kudhuru"

katika lango la mji

Hapa ni mahali ambapo watu muhimu wa mji hukusanyika na kufanya maamuzi.