sw_tn/job/31/07.md

547 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi

"kama nimekoma kufanya kile kilicho sawa"

kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu

"kama nimefanya mambo yoyote maovu"

na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu

"kama nina hatia ya dhambi kabisa"

mavuno na yang'olewe katika shamba langu

"mtu mwingine zaidi na aje na kuchukua mavuno kutoka katika shamba langu"