sw_tn/job/31/05.md

485 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kuzungumza

kama nime...

Katika 31:5-40 Ayubu anafafanua hali mbalimbali ambazo angesitahili kupata hukumu ya Mungu. Lakini anajua kuwa si ya kweli na yeye hana hatia.

nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo

"kufanya kitu cha uongo au kumdanganya mtu kwa makusudi"

na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa

Watu hutumia mizani ili kupima vitu na kutambua uthamani wake. "Mungu na anihukumu kwa uadilifu"