forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
485 B
Markdown
16 lines
485 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza
|
||
|
|
||
|
# kama nime...
|
||
|
|
||
|
Katika 31:5-40 Ayubu anafafanua hali mbalimbali ambazo angesitahili kupata hukumu ya Mungu. Lakini anajua kuwa si ya kweli na yeye hana hatia.
|
||
|
|
||
|
# nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo
|
||
|
|
||
|
"kufanya kitu cha uongo au kumdanganya mtu kwa makusudi"
|
||
|
|
||
|
# na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa
|
||
|
|
||
|
Watu hutumia mizani ili kupima vitu na kutambua uthamani wake. "Mungu na anihukumu kwa uadilifu"
|