sw_tn/job/30/22.md

307 B

unaniinu juu kwenye upepo ...unanirusha nyuma na mbele katika dhoruba

Hii inaelezea mateso makuu ambayo Mungu amfanya Ayubu avumilie

nyumba ya hatima kwa viumbe hai vyote

"nyumba" inawakilisha sehemu ambapo wafu huelekea

viumbe hai vyote

vitu vyote vilivyo hai kwa sasa lakini vitakufa siku moja