sw_tn/job/29/25.md

330 B

niliwachagulia njia zao

hii inamaanisha kuwaamulia jambo wanalopaswa kutenda

niliketi kama mkuu wao

"niliwaongoza kama mkuu wao"

niliishi kama mfalme kwenye jeshi lake

watu walimtii Ayubu kama mfalme na walikuwa kama jeshi lake.

nilikuwa kama mtu anayewafariji waombolezaji

"niliwafariji wakati wa kuomboleza kwao"