forked from WA-Catalog/sw_tn
330 B
330 B
niliwachagulia njia zao
hii inamaanisha kuwaamulia jambo wanalopaswa kutenda
niliketi kama mkuu wao
"niliwaongoza kama mkuu wao"
niliishi kama mfalme kwenye jeshi lake
watu walimtii Ayubu kama mfalme na walikuwa kama jeshi lake.
nilikuwa kama mtu anayewafariji waombolezaji
"niliwafariji wakati wa kuomboleza kwao"