sw_tn/job/29/09.md

493 B

nipokuja kwa wafalme wajizuia kuongea

hii ilikuwa alama ya heshima

waliweka mkono wao juu ya kinywa chao

hii ilikuwa alama ya heshima. Walifanya hivi kuonesha kuwa usingeweza kuongea.

sauti za waungwana zilinyamaza

"waungwana walinyamazisha sauti zao" au "waungwana waliacha kuongea"

na ulimi wao gandamana kwenye makaakaa ya vinywa vyao

maana yake walimweshimu Ayubu hadi kukosa neno la kusema. KTN: " walijihisi kushindwa kuongea" au "na hawakuwa na jambo lolote la kusema"