forked from WA-Catalog/sw_tn
493 B
493 B
nipokuja kwa wafalme wajizuia kuongea
hii ilikuwa alama ya heshima
waliweka mkono wao juu ya kinywa chao
hii ilikuwa alama ya heshima. Walifanya hivi kuonesha kuwa usingeweza kuongea.
sauti za waungwana zilinyamaza
"waungwana walinyamazisha sauti zao" au "waungwana waliacha kuongea"
na ulimi wao gandamana kwenye makaakaa ya vinywa vyao
maana yake walimweshimu Ayubu hadi kukosa neno la kusema. KTN: " walijihisi kushindwa kuongea" au "na hawakuwa na jambo lolote la kusema"