sw_tn/job/28/23.md

397 B

Mungu inaifahamu njia yake; anapajua mahali pake

"Mungu anajua jinsi ya kuipata hekima. Anajua mahali ilipo"

miisho ya nchi

"sehemu za mbali za dunia"

aliyagawa maji kwa vipimo

Mungu hufanya maamuzi ni maji kiasi gani yanapaswa kuwepo kwa kila sehemu. KTN: "aliamua ni maji kiasi gani yanapaswa kuwepo kwa kila sehemu" au "ameweka kiwango cha maji ambacho alikipanga kwa kila sehemu"