forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
397 B
Markdown
12 lines
397 B
Markdown
|
# Mungu inaifahamu njia yake; anapajua mahali pake
|
||
|
|
||
|
"Mungu anajua jinsi ya kuipata hekima. Anajua mahali ilipo"
|
||
|
|
||
|
# miisho ya nchi
|
||
|
|
||
|
"sehemu za mbali za dunia"
|
||
|
|
||
|
# aliyagawa maji kwa vipimo
|
||
|
|
||
|
Mungu hufanya maamuzi ni maji kiasi gani yanapaswa kuwepo kwa kila sehemu. KTN: "aliamua ni maji kiasi gani yanapaswa kuwepo kwa kila sehemu" au "ameweka kiwango cha maji ambacho alikipanga kwa kila sehemu"
|