sw_tn/job/28/20.md

1023 B

Basi, hekima hutoka wapi? Mahali pa ufahamu ni wapi?

Ayubu anatumia maswali haya kudokeza jinsi gani watu hupata ufahamu na hekima> KTN: " Nitawaambia hekima hutoka wapi na mahali ufahamu ulipo" au "nitawaambia jinsi ya kuwa na busara na namna ya kujifunza vitu vya ufahamu"

Basi hekima hutoka wapi

hekima inaongelewa kana kwamba ipo mahali fulani na huwajia watu. hii inamaanisha watu kujipatia busara. KTN: "Basi watu hupata wapi hekima" au "basi namna gani watu hupata busara"

Mahali pa ufahamu ni wapi

Ufahamu umeongelewa kama kitu ambacho kipo hali. KTN: "Watu hupata wapi ufahamu" au "namna gani ya watu hufahamu vitu"

hekima imefichwa kutoka kwenye macho ya viumbe hai vyote

Viumbe hai haviwezi kuiona hekima. KTN: "Hakuna kiumbe hai chenye kuweza kuiona hekima"

na imefichwa kutoka kwa ndege wa mbinguni

"hata ndege ambao huruka katika anga hawawezi kuona hekima"

uharibifu na mauti husema

hapa "uharibifu" na "mauti" ni tamathali kwa sehemu ambapo watu huelekea wakati wanapofariki.