sw_tn/job/28/18.md

720 B

Fedhalika au marijani havistahili kutajwa

"haifai kutaja marijani au fedhaluka" hii inamaan kuwa hekima inastahili zaidi kuliko marijani na fedhaluka wala Ayubu hahitaji kusema chochote juu ya hivi.KTN: "Sitajisumbua kutaja marijani au fedhaluka" au marijani na fedhaluka havina thamani vikilinganishwa na hekima"

marijani

Ni kitu kizuri na kigumu ambacho hustawi chini ya bahari.

fedhaluka...rubi...topazi

Haya ni mawe yenye thamani sana

topazi ya Ethiopia haiwezi kulingana nayo

Hii inamaanisha kwamba hekima inathamani zaidi kuliko topazi.

wala haiwezi thaminishwa kwa vigezo vya dhahabu safi

"na hekima haiwezi kuthaminishwa kwa vigezo vya dhahabu safi" hekima inathamani zaidi ya dhahabu safi.