forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
720 B
Markdown
20 lines
720 B
Markdown
|
# Fedhalika au marijani havistahili kutajwa
|
||
|
|
||
|
"haifai kutaja marijani au fedhaluka" hii inamaan kuwa hekima inastahili zaidi kuliko marijani na fedhaluka wala Ayubu hahitaji kusema chochote juu ya hivi.KTN: "Sitajisumbua kutaja marijani au fedhaluka" au marijani na fedhaluka havina thamani vikilinganishwa na hekima"
|
||
|
|
||
|
# marijani
|
||
|
|
||
|
Ni kitu kizuri na kigumu ambacho hustawi chini ya bahari.
|
||
|
|
||
|
# fedhaluka...rubi...topazi
|
||
|
|
||
|
Haya ni mawe yenye thamani sana
|
||
|
|
||
|
# topazi ya Ethiopia haiwezi kulingana nayo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba hekima inathamani zaidi kuliko topazi.
|
||
|
|
||
|
# wala haiwezi thaminishwa kwa vigezo vya dhahabu safi
|
||
|
|
||
|
"na hekima haiwezi kuthaminishwa kwa vigezo vya dhahabu safi" hekima inathamani zaidi ya dhahabu safi.
|