# Fedhalika au marijani havistahili kutajwa "haifai kutaja marijani au fedhaluka" hii inamaan kuwa hekima inastahili zaidi kuliko marijani na fedhaluka wala Ayubu hahitaji kusema chochote juu ya hivi.KTN: "Sitajisumbua kutaja marijani au fedhaluka" au marijani na fedhaluka havina thamani vikilinganishwa na hekima" # marijani Ni kitu kizuri na kigumu ambacho hustawi chini ya bahari. # fedhaluka...rubi...topazi Haya ni mawe yenye thamani sana # topazi ya Ethiopia haiwezi kulingana nayo Hii inamaanisha kwamba hekima inathamani zaidi kuliko topazi. # wala haiwezi thaminishwa kwa vigezo vya dhahabu safi "na hekima haiwezi kuthaminishwa kwa vigezo vya dhahabu safi" hekima inathamani zaidi ya dhahabu safi.