forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.1 KiB
Markdown
24 lines
1.1 KiB
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
kwenye 28:12-28, hekima na maarifa vimesemwa kama vitu ambavyo vipo mahali fulani na watu wanataka wavipate. kutafuta hekima na maarifa inawakilisha kuwa na busara na kujifunza kufahamu vitu kwa uzuri.
|
|
|
|
# Je hekima itapatikana wapi? Je ni sehemu gani yenye maarifa?
|
|
|
|
Maswali haya yanamaana moja na yametumika kuonesha kuwa ni vigumu kupata hekima na maarifa.
|
|
|
|
# Je hekima itapatikana wapi? Je ni sehemu gani yenye maarifa
|
|
|
|
Kuwa mwenye hekima na maarifa inazungumziwa kana kwamba ni kutafuta hekima ana maarifa: KTN: "Jinsi gani watu huwa na hekima? Jinsi gani watu hujifunza kufahamu vitu kwa uzuri?"
|
|
|
|
# Binadamu hajui thamani yake
|
|
|
|
Hapa inaweza kumaanisha kuwa:- 1) "Watu hawajui uzuri wake" au 2) "Watu hawajui mahali ilipo"
|
|
|
|
# wala haipatikani katika nchi ya walio hai
|
|
|
|
nchi ya walio hai inamaana ya ulimwengu huu ambapo watu wanaishi. KTN: "na hakuna mtu anayeweza kupata hekima katika ulimwengu huu "
|
|
|
|
# Maji yenye kina... yanasema, 'haiapo ndani kwangu' bahari inasema, ' haipo kwangu'
|
|
|
|
vilindi vya maji na na bahari vinasimama kama watu wanaoweza kuongea. KTN: "Hekima haipo ndani ya vilindi vya maji chini ya ardhi, wala katika bahari"
|