sw_tn/job/28/03.md

639 B

Binadamu hukomesha giza

huweka nuru mahali penye giza. Watu waliweza kutumia miale, ama taa au tochi.KTN:" Bibadamu hubeba mwanga kwenye sehemu za giza"

kwenye mpaka wa mbali zaidi

"kwenye sehemu za mbali zaidi kwenye machimbo"

uvunguvungu ...giza nene

haya mafumbo mawili yametumika kuonyesha kuwa giza ni kuu sana

shimo

tundu jembambale lenye kina linalochimbwa ardhini au kwenye mwamba. Watu hushuka chini ya tundu ili kuchimba.

sehemu ambazo zimesahauliwa na mguu wa mtu yeyote

KTN: " ambapo hakuna mtu amewahi kupakanyaga"

Huning'inia mbali na watu

KTN:" Mbali na watu huning'inia kwenye kamba ndani ya shimo"