sw_tn/job/27/22.md

539 B

Maelezo ya Jumla

mistari ya 22-23 Ayubu anazungumzia upepo kana kwamba ni mtu mwenye kumshambulia mtu mwovu

unajirusha wenyewe juu yake

hapa "unajilisha wenyewe " inamaanisha upepe. "unavuma kwa nguvu dhidi yake kama mtu mwenye kumshambulia"

anajaribu kuukimbia mko wake

" anajaribu kukimbia kutoka katika mamlaka yake"

Anapiga makofi yake kwa kumdhihaki.

" Upepo unato sauti kubwa kama ya mtu anayepiga makofi ili kudhihaki"

anazomewa mbali na sehemu yake

"amepeperushwa mbali na sehemu yake na anazomewa kwa dhihaka"