forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
406 B
Markdown
20 lines
406 B
Markdown
# vitisho humkabili
|
|
|
|
" mambo ya kutisha humtokea kwa ghafula" au "ghafula atashikwa na woga"
|
|
|
|
# kama maji
|
|
|
|
" kama mafuriki" au "kama maji jaa upesi"
|
|
|
|
# dhoruba humtoa
|
|
|
|
"upepo mkali humpeperusha mbali"
|
|
|
|
# humfagia mbali na sehemu yake
|
|
|
|
"upepo humfagia mbali na sehemu yake kama mwanamke anafagia uchafu kwenye nyumba" au " upepo humpeperusha kwa urahisi mbali na sehemu yake"
|
|
|
|
# sehemu yake
|
|
|
|
"nyumba yake"
|