sw_tn/job/27/20.md

406 B

vitisho humkabili

" mambo ya kutisha humtokea kwa ghafula" au "ghafula atashikwa na woga"

kama maji

" kama mafuriki" au "kama maji jaa upesi"

dhoruba humtoa

"upepo mkali humpeperusha mbali"

humfagia mbali na sehemu yake

"upepo humfagia mbali na sehemu yake kama mwanamke anafagia uchafu kwenye nyumba" au " upepo humpeperusha kwa urahisi mbali na sehemu yake"

sehemu yake

"nyumba yake"