sw_tn/job/27/15.md

624 B

wale ambao husalia

Hii inahusu watoto wa mtu mwovu ambao huendelea baada ya baba zao kufariki. KTN: "Wale ambao huendelea kuishi baada ya baba zao waovu kufariki"

watazikwa kwa tauni

"watakufa kwa tauni"

wajane wao... yao

maneno "wao... yao" yanahusu wale watakaosalia, ambao ni watoto wa mtu mwovu

hurundika fedha kama mavumbi

"hurundika "maana yake hukusanya sana. Ayubu anasema kuwa ilikuwa rahisi kwa mtu huyu kujipatia fedha kama vile mavumbi.

hurundika mavazi kama udongo

"hurundika "maana yake hukusanya sana. Ayubu anasema kuwa ilikuwa rahisi kwa mtu huyu kujipatia mavazi kama vile kuzoa udongo.