forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
624 B
Markdown
20 lines
624 B
Markdown
|
# wale ambao husalia
|
||
|
|
||
|
Hii inahusu watoto wa mtu mwovu ambao huendelea baada ya baba zao kufariki. KTN: "Wale ambao huendelea kuishi baada ya baba zao waovu kufariki"
|
||
|
|
||
|
# watazikwa kwa tauni
|
||
|
|
||
|
"watakufa kwa tauni"
|
||
|
|
||
|
# wajane wao... yao
|
||
|
|
||
|
maneno "wao... yao" yanahusu wale watakaosalia, ambao ni watoto wa mtu mwovu
|
||
|
|
||
|
# hurundika fedha kama mavumbi
|
||
|
|
||
|
"hurundika "maana yake hukusanya sana. Ayubu anasema kuwa ilikuwa rahisi kwa mtu huyu kujipatia fedha kama vile mavumbi.
|
||
|
|
||
|
# hurundika mavazi kama udongo
|
||
|
|
||
|
"hurundika "maana yake hukusanya sana. Ayubu anasema kuwa ilikuwa rahisi kwa mtu huyu kujipatia mavazi kama vile kuzoa udongo.
|