sw_tn/job/27/13.md

426 B

Hii ndiyo hatima ya mtu mwovu kwa Mungu

Hatima ya mtu mwovu kwa Mungu inahusiana na mpango wa Mungu kwa mtu huyo. KTN: " huu ndio mpango wa Mungu kwa mtu mwovu"

urithi wa mnyonyaji ambao hupokea kutoka kwa Mwenyezi

"urithi wa mnyonyaji" ni stiari kuonyesha kitu gani kitatokea kwa mnyonyaji. Mambo atakayopokea toka kwa Mungu yanaongelewa kama ndiyo urithi wake.

ni kwa ajili ya upanga

"watakufa katika mapigano"