sw_tn/job/27/11.md

529 B

nitawafundisha

"nitawa.." ni neno katika wingi kumaanisha marafiki watatu wa Ayubu.

mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu unawakilisha nguvu zake. KTN: "Nguvu za Mungu"

Sitayaficha mawazo ya Mwenyezi

"mawazo" ni jina dhahani ambapo laweza dhahiri pamoja na kitenzi "fikiri".KTN: "Sitawaficha yale ambayo Mwenyezi hufikiri"

basi mbona mmeongoa upuuzi huu wote?

Ayubu anatumia swali hili kuwakemea arafiki zke kwa kuongea vitu vya kipumbavu. KTN: "walakini mmeongea upuu huu wote" au " Haikuwapasa kuongea kwa upumbavu"