forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
529 B
Markdown
16 lines
529 B
Markdown
|
# nitawafundisha
|
||
|
|
||
|
"nitawa.." ni neno katika wingi kumaanisha marafiki watatu wa Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# mkono wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Mkono wa Mungu unawakilisha nguvu zake. KTN: "Nguvu za Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Sitayaficha mawazo ya Mwenyezi
|
||
|
|
||
|
"mawazo" ni jina dhahani ambapo laweza dhahiri pamoja na kitenzi "fikiri".KTN: "Sitawaficha yale ambayo Mwenyezi hufikiri"
|
||
|
|
||
|
# basi mbona mmeongoa upuuzi huu wote?
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia swali hili kuwakemea arafiki zke kwa kuongea vitu vya kipumbavu. KTN: "walakini mmeongea upuu huu wote" au " Haikuwapasa kuongea kwa upumbavu"
|