sw_tn/job/27/04.md

646 B

Hakika midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu kusema uongo

"midomo yangu" na "ulimi wangu" vifungu hivi vyote vina maana moja na vimetumika kusisitiza kwamba Ayubu hatasema mambo yasiyofaa. KTN: "Hakika sitasema ouvu au uongo"

haitanena uovu...kusema uongo

"uovu" na "uongo" ni majina dhahania yanayoweza kuelezea "kwa uovu" na "kwa udanganya" KTN: "kunena kwa uovu... kusema kwa udanga udanganyifu"

Sitakubali kwamba ninyi watatu mpo sahihi

"sitakubaliana nanyi na kusema kwamba ninyi watatu mpo sahihi"

sitaukana uadilifu wangu

"sitaacha kusema ya kwamba mimi si mwenye hatia" au " daima nitasema ya kuwa mimi mwadilifu"