sw_tn/job/27/04.md

16 lines
646 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Hakika midomo yangu haitanena uovu, wala ulimi wangu kusema uongo
"midomo yangu" na "ulimi wangu" vifungu hivi vyote vina maana moja na vimetumika kusisitiza kwamba Ayubu hatasema mambo yasiyofaa. KTN: "Hakika sitasema ouvu au uongo"
# haitanena uovu...kusema uongo
"uovu" na "uongo" ni majina dhahania yanayoweza kuelezea "kwa uovu" na "kwa udanganya" KTN: "kunena kwa uovu... kusema kwa udanga udanganyifu"
# Sitakubali kwamba ninyi watatu mpo sahihi
"sitakubaliana nanyi na kusema kwamba ninyi watatu mpo sahihi"
# sitaukana uadilifu wangu
"sitaacha kusema ya kwamba mimi si mwenye hatia" au " daima nitasema ya kuwa mimi mwadilifu"