sw_tn/job/27/01.md

728 B

Hakika kama Mungu anavyoishi

Hii ni namna ya dhati ya kuweka ahadi. KTN: "Ninaapa kwa Mungu"

ameniondolea haki yangu

kuindoa haki inamaanisha kukataa kumtendea haki Ayubu

aliyefanya maisha yangu kuwa machungu

"amesababisha niwe na uchungu" au " amenifanya nikasirike kwa sababu alinitendea kwa namna isiyo nzuri"

wakati uhai wangu ukiwa ndani yangu

hii inamaana ya maisha yake yote. KTN: wakati wote ambapo uzima wangu ukiwa ndani yangu" au "kwa muda wote ambao uhai wangu bado upo ndani yangu"

pumzi kutoka kwa Mungu puani mwangu

pumzi puani inawakilisha uwezo wa kupumua, "pumzi kutoka kwa Mungu" inawakilisha kitendo cha Mungu kumfanya aweze kupumua. KTN: "Mungu ananiwezesha kupumua"

puani

"pua"