# Hakika kama Mungu anavyoishi Hii ni namna ya dhati ya kuweka ahadi. KTN: "Ninaapa kwa Mungu" # ameniondolea haki yangu kuindoa haki inamaanisha kukataa kumtendea haki Ayubu # aliyefanya maisha yangu kuwa machungu "amesababisha niwe na uchungu" au " amenifanya nikasirike kwa sababu alinitendea kwa namna isiyo nzuri" # wakati uhai wangu ukiwa ndani yangu hii inamaana ya maisha yake yote. KTN: wakati wote ambapo uzima wangu ukiwa ndani yangu" au "kwa muda wote ambao uhai wangu bado upo ndani yangu" # pumzi kutoka kwa Mungu puani mwangu pumzi puani inawakilisha uwezo wa kupumua, "pumzi kutoka kwa Mungu" inawakilisha kitendo cha Mungu kumfanya aweze kupumua. KTN: "Mungu ananiwezesha kupumua" # puani "pua"