sw_tn/job/26/11.md

12 lines
267 B
Markdown

# Nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu kwa kukemea kwake
Ayubu anaongelea watu kama nguzo ambazo hutetemeka kwa hofu wakati Mungu anapokasirika.
# alimvunjavunja Rahabu
alimharibu Rahabu
# Rahabu
Hili ni jina la kiumbe cha kutisha kilichoishi katika bahari.