sw_tn/job/26/11.md

267 B

Nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu kwa kukemea kwake

Ayubu anaongelea watu kama nguzo ambazo hutetemeka kwa hofu wakati Mungu anapokasirika.

alimvunjavunja Rahabu

alimharibu Rahabu

Rahabu

Hili ni jina la kiumbe cha kutisha kilichoishi katika bahari.