sw_tn/job/26/05.md

780 B

waliokufa

" wale ambao walikufa" au " roho za wafu"

tetemeka

wanatetemeka kwa sababu wanamwogopa Mungu. KTN: "kutetemeka kwa hofu" au "kutetemeka kwa hofu ya Mungu"

wale ambao wapo chini ya maji

Hii inaelezea watu waliokufa ambao hutetemeka"

wote wanaoishi ndani yake

hii nazungumzia kuhusu watu waliokufa ambao hutetemeka. neno "yake" linamaanisha kwenye maji

kuzimu ipo tupu mbele za Mungu; uharibifu mwenyewe hauna kifuniko

kuzimu inaongelewa kana kwamba ni mtu. kuwa "tupu" au kukosa" kifuniko" ni kuwa wazi kabisa na kushindwa kuficha chochote. KTN: " Ni kama kuzimu ilivyo wazi mbele za Mungu, maana hakuna kitu kuzimu, au sehemu ya uharibifu ambayo imejificha kwa Mungu"

uharibifu

hili ni neno jingine kumaanisha kuzimu. KTN: "sehemu ya uharibifu"