sw_tn/job/26/01.md

896 B

jinsi gani ulimsaidia yule ...mkono ambao hauna nguvu!

Ayubu anamshutumu Bildadi. Neno "yule" linamrejea yeye mwenyewe (Ayubu). KTN: "Mimi sina uwezo wal nguvu, lakini unajifanya kama umenisaidia- ukweli ni kwamba hujanisaidia kabisa!"

mkono ambao hauna nguvu

Ayubu anajielezea mwenyewe kuwa..."mimi, ni kama mkono ambao hauna nguvu au "yule ambaye ni dhaifu kabisa"

Jinsi gani umemshauri yule asiyekuwa na hekima na kumtangazia maarifa ya kweli!

Ayubu anasema kwamba Bildadi hajatoa ushauri mzuri wala maarifa kwake. KTN: " Umetenda kana kwamba hauna maarifa kwa njisi ulivyonishauri"

kumtangazia maarifa ya kweli

"kumpa ushauri mzuri"

Kwa msaada wa nani umeongea maneno haya? je ilikuwa roho ya nani... yako?

katika maswali haya Ayubu anaendelea kumdhihaki Bildadi. KTN: "lazima ulipata msaada kuongea maneno haya. Yamkini roho fulani ilikusaidia kuyaongea maneno haya"