sw_tn/job/25/01.md

800 B

Bildadi Mshuhi

hili ni jina la mtu kama ilivyo katika 2:11

Milki na hofu vipo pamoja naye

"naye" inarejea kwa Mungu. majina ya dhahania "milki" na "hofu" yanaweza kutajwa kama vitenzi. KTN: "Mungu ni mtawala wa yote, na watu wanapaswa kumhofu yeye peke yake"

katika sehemu zake za juu mbinguni

"katika mbingu" au "kwenye mbingu juu"

Je kuna ukomo wa idadi ya majeshi yake?

Bildadi anatumia swali hili kueleza jinsi Mungu alivyo mkuu. KTN: "Hakuna ukomo wa idadi ya malaika katika jeshi lake" au Adui zake ni wakubwa sana kwamba hakuna awezaye kuwahesabu"

je ni juu ya nani mwanga wake haumuliki?

Bildadi anatumia swali hili kueleza kwamba Mungu hutoa mwanga kwa kila mtu. KTN: "Wala hapana mtu ambaye mwanga wake haumuliki" au "Mungu hufanya mwanga wake kung'aa juu ya kila mmoja"